Yaya Sanogo amejiunga na klabu ya Al Ahly ya Libya akitokea Toulouse ya Ufaransa,amesaini mkataba wa mwaka mmoja.
— soka (@soka_app) August 5, 2019
Sanogo aliyezaliwa Ufaransa alicheza katika timu zote za vijana za Ufaransa,kabla ya kuichezea timu ya Taifa ya wakubwa ya Ivory coast. pic.twitter.com/uwdEUW7z5y